VIDEO: AFUNGWA MIAKA 10 BAADA YA KUKAMATWA AKIMBAKA MBUZI....!!

Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 28 amehukumiwa kwenda jela miaka kumi mara baada ya kukutwa na hatia ya kufanya tendo la ngono na mbuzi. Katana Kitsao Katana Kitsao Gona toka Malindi nchini Kenya wiki iliyopita alikiri kufanya ngono na mnyama.  Shuka chini kuangalia Video hiyo.....  Mbuzi huyo wa kike kwa utulivu alikuwa...

PICHA ZINATISHA: MZEE MMOJA AGONGWA NA GARI NA KUSAGIKA MGUU ALIPOKUWA ANAVUKA BARABARA,KILIMANJARO....

. MZEE huyu wa jamii ya kabila la wamasai aliyetambulika kwa jina la ''Tulito'' Mkazi wa KIA njia panda ya kuelekea uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airpot, amepata ajali mbaya ya kugongwa na fuso alipofanya jaribio la kuvuka barabara hiyo ya lami ambayo magari huenda mwendo kasi.   Kwa mujibu wa chanzo...

PICHA:TIMBWILI LAZUKA BAADA YA MWANAUME MMOJA KUGONGANISHA MKE NA KIMADA CHAKE WALIOKUJA KUMPOKEA AIRPORT....

 . MWANAUME mmoja aliyeelezwa kuwa ni tajiri mwenye nazo mjini, amezua tafrani na kusababisha timbwili la nguvu kwa dakika kadhaa baada ya kugonganisha wanawake wawili waliodaiwa kuwa chini ya miliki yake kwa wakati mmoja, subiri hapohapo tukujuze!   Mtiti huo uliovuta hisia za wengi ulichukua nafasi Ijumaa iliyopita, mishale ya...

SINEMA YA BABY MADAHA NA DIAMOND BADO INAENDELEA,DIAMOND NAE AFUNGUKA NA KUMPONDA BABY MADAHA....

. Baby Madaha akiwa na Diamond. ACHANA na mabifu yaliyotangulia, hili ni jipya kabisaa! Msanii wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ameingia kwenye bifu zito na Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na kudai staa huyo wa Wimbo wa Number One ni mzinzi ‘fuska’, Amani lina mkanda mzima. Bila kumung’unya maneno, mapema wiki hii, Baby...

UKATILI! AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMCHOMACHOMA NA KISU BAADA YA WAZAZI WA BINTI KUMKATAA ASIMUOE....

. KIFO cha kikatili cha mwanafunzi aliyeuawa siku chache baada ya kuhitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Luguruni na mkazi wa Kimara Golani, Dar, Sharifa Rajab (18) bado ni simanzi nzito katika familia yake. Sharifa aliuawa kikatili Novemba 22, mwaka huu, Kimara Golani jijini Dar na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake ajulikanaye kwa jina...

SINTAH NAYE AFUNGUKA BAADA YA IRENE UWOYA KUAMBULIA MAKAVU LIVE HAPO JANA....

. Sintah amefunguka katika blog yake kuhusu mwanadada Irene Uwoya kubugi siku ya jana na kuweka Picha ya Vin Diesel akidhani ni Paul Walker. Soma hapo chini alichokisema Van Diesel ambayeIrene alifikiri ni Paul Walker Let me a shame the devil, mara nyingi wanapokufa mastaa wa nje jamani ktk mitandao ya jamii tunakufa...

MADIWANI CCM,CHADEMA WAPIGANA NGUMI KAVUKAVU KISA KUHOJI MATUMIZI YA MILIONI 95/-......

 . Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya,Diwani Athuman Madiwani wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, wamejeruhiwa vibaya hadi kulazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa kile kinachodaiwa kupigwa na wenzao wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika eneo la ukumbi wa halmashauri wa Mkapa wakati...

"NIACHENI NA CHUCHU WANGU,KIFUPI NDIYE MKE WANGU...." RAY AFUNGUKA BAADA YA KUWA NA SKENDO YA KUTEMBEA NA CHUCHU MKE WA MTU

 . Akizungumza wikiendi iliyopita katika Viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa na mechi kati ya wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Muvi, Ray aliwashangaa waandishi kwa kumshambulia kutoka kimapenzi na Chuchu.  Mwandishi alianza kwa kumwuliza: “Ray magazeti yanaandika kuhusu wewe kutoka na Chuchu Hans ambaye...

DIAMOND HAJUI KUIMBA NDIYO MAANA AMEKUWA MSANII WA MATUKIO HUKU NYOTA YAKE IKIEGEMEA KWENYE MAPENZI NA WASICHANA WENYE MAJINA MAKUBWA" BABY MADAHA

. MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la (Baby Madaha) amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si msanii bali ni mfanyabiashara.  Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kamwe huwezi kumlinganisha na msanii kama Barnaba...

RAIS KIKWETE AMCHAGUA DR ASHA-ROSE MIGIRO KUWA MBUNGE....

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com               press@ikulu.go.tz              Fax: 255-22-2113425 ...

"NI KWA WAPUMBAVU WANAOANDIKA UJINGA WANIKWAZE,KAMA HUNIPENDI U BETTER F**K OFF!" IRENE AFUNGUKA BAADA YA MASHABIKI WAKE KUMSHAMBULIA

 . Hapo jana mwanadada Irene uwoya aligeuka mada ya mtandao mmoja maarufu wa kijamii baada ya kuweka picha ya mwigizaji wa marekani Vin Diesel ikiwa na maneno ya “R.I.P – Bwana ametoa na bwana ametwaa” kwa jamaa huyo kuwa amefariki kitu ambacho sio kweli na ndipo mashabiki walipoanza kumshambulia mwanadada huyo kuwa awe anafanya research...

PICHA: AJALI MBAYA YA BASI LA URAFIKI...!!

. Wakazi wa kijiji cha Ndolela Tarafa ya Isimani wilaya Iringa vijijini wakiangalia ajali ya Basi la abiria la Urafiki  T 594 ABM lililoanguka kijijini hapo jana likitokea Iringa kuelekea Dodoma. PICHA NA SAID NG'AMIL...

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter