PICHA ZINATISHA: MZEE MMOJA AGONGWA NA GARI NA KUSAGIKA MGUU ALIPOKUWA ANAVUKA BARABARA,KILIMANJARO....

.
MZEE huyu wa jamii ya kabila la wamasai aliyetambulika kwa jina la ''Tulito'' Mkazi wa KIA njia panda ya kuelekea uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airpot, amepata ajali mbaya ya kugongwa na fuso alipofanya jaribio la kuvuka barabara hiyo ya lami ambayo magari huenda mwendo kasi.
 
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka mkoni kilimanjaro 
kimedai kwamba gari hilo aina ya FUSO halikusimama baada ya kumgonja mzee Tulito, lilitokomea..! Raia waliokuwa karibu na eneo la tukio hawakufanikiwa kunasa hata namba za gari hilo, Mzee tulito aliwahishwa Hospitali wilayani boma kwa matibabu zaidi.

CHANZO : MATUKIO NA MICHAPO

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter