PICHA YA ABIRIA WAKIOKOLEWA KWENYE AJALI ILIYOTOKEA CHALINZE PWANI LEO MAY 1 2013


Taarifa ambayo sio rasmi ni kwamba hakuna aliepoteza maisha, zaidi ni waliojeruhiwa tu lakini bado Mtandao huu inaendelea kufatilia taarifa ya Polisi Pwani ili kupata taarifa kamili ya ajali ya hili basi liitwalo Smart ambalo lilikua likitokea Mombasa.

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter