BANANA akerwa na mimba ya MAUNDA ZORRO!!



MMILIKI wa B-Band, Banana Zorro amefunguka la moyoni kuwa, mimba aliyopata dada’ke, Maunda Zorro mwaka jana ilikuwa ikimkera hivyo akamnunia.
Akisemezana na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar juzikati, Banana alisema kuwa kwa kipindi kile hakutarajia kama mdogo wake angepata ujauzito ndiyo maana baada ya kupata taarifa hiyo alikasirika.
“Kusema ukweli hata yeye baada ya kupata ujauzito hakuweza kuniambia moja kwa moja, akamwambia mke wangu, nilikereka sana lakini nilimsamehe baada ya kupata mtoto,” alisema Banana.

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter