Treni
iliyoua watu wa nne na kuacha majeruhi 60 na change NY katika eneo la
Bronx NY, Chanzo cha ajali hii inasemekani ni speed na mbaya zaidi
ilikuwa kwenye corner. Ni mtihani wa kwanza kwa Mayor mpya wa New York
Bill de Blasio. Treni hii ni moja ya treni zinazojulikana kwa jina la
Metro North, Metro North ni tofauti na zile treni za ndani ya Jiji
zinazofanya kazi 24/7 maarufu kwa jina la subway zinazopita chini ya
ardhi. Treni za Metro North utumiwa zaidi na watu wanaoishi nje ya NY
lakini ufanya kazi zao ndani ya NY. Tunashukuru hadi sasa hatujasikia
kama kuna mtanzania yeyote alikuwa ndani ya treni hii kwani wapo ndugu
zetu pia wanaotumia usafiri wa treni hizo za Metro North kuingia na
kutoka ndani ya jiji la NY.
Wafanyakazi wa zima moto wakiwa kazini |
Kati ya vitu anavyokumbana navyo Mayor mpya ni kama hivi snow ikianguka kuhakikisha inaondolewa ontime na kupunguza kero za wakazi wa jiji la wasiolala New York City. Hii ilikuwa kali ya mwaka ilitokea 2010 na kusababisha watu kutokwenda kazini kwa 2 days kwasababu ya snow kumwagika na kusababisha kutokuwa na shughuri zozote ndani ya jiji la NY. |
0 comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA....