huyu ndo mwizi ALIYEFUNGWA MIKONO na MIGUU NA KUTUNDIKWA KAMA NGUO

 
Huyu ni mwizi wa betri ya gari akisulubiwa kwa staili ya kufungwa juu kwenye ngazi pamoja na betri aliyoiba. Hatua hii ilichukuliwa na wananchi wa Uyole Mbeya huku wakisubiri polisi waje kumchukua mwizi huyo.

Baada ya polisi kufika walimchukua mwizi huyo huku wananchi wakiwa bado na usongo wa kumpiga

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter