Picha: ANGALIA KIBAO KATA cha AUNTY EZEKIEL kilivyofana!!




 Mashallah mtoto Black Beauty na make up imetuliajeee. Kama kupendeza alipendeza na yatupasa kumpa sifa zake pale anapostahili kupewa.
 Mambo ya arabian night chezea! Macho yanaitajeeeee
Unambiwa mauno yalikuwa hatari
Red red tuuuuuuu naskia ndo zilitawala, na alizimwagajeee. Nasubiri ya Wema sasa maana nadhani itakuwa funga kazi
 Wema akifanya vitu vyake chezea! Ilikuwa full kumtunza shosti wake. Bi harusi mpaka chiniiiiiiii
 Wadada walitokelezajeee
 Salome na sister wake walikuwepo na wametokelezajeee
 Muke ya mzungu
Kitu cha arabian night chezeaaa bongo movie star aka bongo celebrity. Shughuli hii ilifanyika siku moja kabla ya kitchen party. Tunasubiri Send off maana tumeambiwa kila kitu kitafanyika kinyume na tulivyo zoeaaaaa. Iga ufe

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter