MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA !!!

Wakati sakata la kijana wa Mbagala kukojolea kitabu kitakatifu likiwa
bado bichi mahakamani.
Huko Pemba maeneo ya Chakechake kijiji cha Wawi mwislamu amekashifu kitabu
hicho kwa kukikojolea  kumvisha mbwa tasibii na kumlazimisha mama yake
kumpakata mbwa huyo.

Mtu huyo mwanamme baada ya kutenda tukio hilo kajipeleka mwenyewe kwa
shehe na kumtaarifu kuhusu hilo
Tayari kijana huyo amekwishafikishwa kwenye vyombo vya sheria ili
sheria ichukue mkondo.
Tofauti na mbagala hapakuwepo na maandamano wala uharibifu wa mali za
kanisa au msikiti wowote.

Jamani sasa dunia sijui inakoelekea ni wapi, inabidi tuiombee nchi
yetu na kuiepusha na mabalaa haya.

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter