Machangudoa wanusurika kukaamatwa wakiwa wanajiuza!!

Makahaba hao ambao mara tu baada ya kuwaona Askari wakilinyemelea windo lao
la kila siku waliamua kutimua mbio na wengine kusahau hata mikoba yao kwa
shauku ya kusekwa rumande. Wimbi ala makahaba limekuwa likiongezeka mno
hususani nyakati za usiku ambapo biashara hiyo ya kuuza miili inaonekana kushamiri sana

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter