BINTI wa brazili ainadi BIKRA yake kwa $780,000




MWANAFUNZI wa brazili Aliyetambulika kwa jina la CATARINA ameibbuka na kutangaza kuiuza bikra yake kwa yeyote mwenye kiasi cha $780,000 aliaweze kutiza haja zake.
Mpaka sasa wameshajitokeza watu kadha kutoka mataifa mbali mbali wakiwemo Natsu kutoka JAPAN,Jack Miller na Jack Right kutoka AMERICA amabao wote wameonyesha nia thabiti ya kutaka kuinunua bikra ya mdada huyo.

Aidha yeye mwenyewe CATARINA ameainisha kuwa pesa zitakazopatikana atazitumia kujenga mahema kwaajili ya watu maskini ambao hawana malazi.


HII NI PICHA YAA MLIMBWENDE HUYO  

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter