"TELL CONGRESS TO STOP FUNDING THE KILLER TANZANIAN GOVERNMENT"....HUU NDIO UJUMBE ULIOZAGAA KWENYE MABANGO YA VITUO VYA USAFIRI HUKO NCHINI MAREKANI....!!

Nimepita kwenye mitaa ya hapa Washington DC katika mtaa wa colombia na 18 street[adams morgan]. Nimeona kuna mabango na Matagazo kuhusu uonevu unaofanywa na serikali ya CCM huko Tanzania. Ni picha za akina mwangozi, mauaji ya morogoro, mauaji kule songea, na arusha. Nimeona watu wengi wanasema hii Tanzania si inchi ya amani hii imetoka wapi tena?.

Kuna mwingine akasema imebadilika sana. Tunachotakiwa ni kupiga simu au kumweleza congress man wako kuhusu hii issue. Tupate ukweli wake.

HII NI HATA RI SANA..
 

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter