SAKATA LA MWANAMKE ALIYEVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI NDANI YA UWANJA WA TAIFA..!!


KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida wapenzi wa mpira waliofika kuangalia mechi kati ya (Pirates vs Chiefs ) huko nchini Afrika Kusini walipata kuona kioja cha mwaka pale waliposhuhudia Dada mmoja akivua nguo na kubaki na chupi kisha kuanza kucheza mbele ya wanaume bila kuona aibu mbele ya umati wa watu.....

Sakata hilo lilichukua  sura mpya baada  ya wanaume kutaka kumparamia  kwa lengo  la kumbaka.

Askari  polisi  walisaidia  kuzima timbwili  hilo  kwa kumchukua na kumuondoa mwanamke  huyo  ambaye inasemekana alikuwa  amelewa

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter