Mnigeria Karen ambae alijichukulia mamilioni baada ya kutangazwa mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2011 ametumia page yake ya twitter kuomba mtu asiefahamika alieingia kwenye computer yake bila ruhusa kuacha kusambaza picha zake akiwa nusu uchi ambazo zimeanza kusambazwa kwenye internet.

0 comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA....