MAIMATHA ATIMULIWA KWENYE KIBAO KATA YA AUNT EZEKIEL

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ben & Mai kinachorushwa hewani na TBC1,  Maimartha Jesse hivi karibuni alipata aibu ya mwaka baada ya kuzuiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Budha Blue, Mikocheni, Dar  kwenye sherehe ya ‘kibao kata’ cha nyota wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel.

Habari zinadai kwamba Mai alikutwa na ishu hiyo kwa sababu hakuwa ametoa mchango uliokuwa umepangwa kwa ajili ya kuingia kwenye sherehe hiyo.

Mai akiwa amevalia sare ya sherehe hiyo, alikataliwa getini na mlinzi ambaye alimtaka aoneshe kadi au ujumbe wa simu ‘SMS’ aliotumiwa kwenye simu yake wa kumwalika ambapo vyote hakuwa navyo hivyo kutimuliwa.

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter