Kocha wa Kagera Sugar amesifia maamuzi ya refa na kusema ‘nafurahi timu imesawazisha kwenye dakika za mwisho na refa amefanya kazi yake kwa sababu ni siku nyingi sana marefa hawagawi penat kama hizo, timu nzuri inacheza mpaka goli’
Kocha Kibaden wa Simba kasema ‘nashukuru tumemaliza
mpira salama na vijana wametoka salama, sijafurahishwa na jinsi mpira
ulivyochezeshwa, sitaki kusema hayo kwa sababu watu wana macho na
wanaweza kukosoa lakini
uamuzi haukuwa sawasawa, kama tutaendelea na mpira wa aina hii nafikiri
tutaondoka kwenye mwelekeo…
naomba TFF mpya iliyokuja ijaribu kutazama watu wapumbavu wa aina hii wanaokuja pale kuwaudhi watu, sijafurahishwa na mpira ulivyochezeshwa mwanzo hadi mwisho na nilijua kitatokea nini’



0 comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA....