Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na baba mzazi wa marehemu Sajuki   wakati wa mazishi ya msanii huyo  leo katika makaburi ya Kisutu jijini  Dar es salaam
 Jeneza lililobeba Mwili wa  Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) likiwasili kwenye Makaburi ya  Kisutu jijini Dar es Salaam mchana huu tayari kwa Mazishi yaliyoongozwa  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la  Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) yaliyofanyika mchana huu kwenye  Makaburi ya Kisutu,Jijini Dar es Salaam.







0 comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA....