PICHA NYINGINE ZAIDI ZA UFOO SARO MARA BAADA YA KUNUSURIKA KIFO..!!



 Ufoo Saro baada ya kufanyiwa upasuaji huo.

 Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akimpeleka wodini Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufo Saro,  baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa risasi kufuatia kushambuliwa kwa silaha ya moto nyumbani kwa mama yake  Kibamba jijini Dar es Salaam leo na   mchumba wake ambaye pia alimuua mama yake na kisha kujiua.

 Wanahabari wakimpiga picha Ufoo Saro baada ya kuondolewa chumba cha upasuaji.

Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsindikiza Ufoo Saro wakati akipelekwa wodini.

-Mwaibale.

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter