DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU SKENDO YA KUYAANIKA MAKALIO YAKE....


HUU  NDO UTETEZI  WA  DIAMOND  KUHUSU SAKATA LA KUVUA NGUO HADHARANI......

"Watu wengi waliipokea show hii tofauti kabisa  na vile ilivyokuwa imekusudiwa...kipengele cha kuvua Boxer ni kipengele ambacho kilifanyiwa mazoezi kikiwa katika sehemu ya show tuliyokuwa tumeiandaa kuifanya siku hiyo ya Fiesta 2012 na sio kama tulifanya tu bila kukusudia.....

Lakini mashabiki waliipokea show hii tofauti kabisa me naamini ilitokana na ubunifu ambao hawakuwai kuutegemea kwa msanii yeyote yule pia ilikuwa ni surprise kwa mashabiki wangu.....Lakini sio vitu vigeni kabisa ukiangalia hata nje wanafanya show za aina hii tena pengine ni zaidi ya hii."....DIAMOND

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA....

 

Copyright © 2010 GUMZO LA JIJI.

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter